
chemsha maji akanikandakanda akanipa na dawa nikameza nikalala na maumivu😠asubuhi akaamka akaanza nihudumia adi raha 🥰🤣nikamtext betty mwenzio nimeumiaðŸ˜ðŸ˜eeh umeanguka au imekuaje,nikamuelezea akanicheka akasema tu pole ndo ukubwa🙄 basi hiyo siku sikutoka nje🤣hata mama na wifi walivyorud akawaambia nmelala2 najisikia vibaya🥺kesho yake pia sikutoka nikaja toka siku ya tatu🤪 basi ilikuwa jumatatu aman alivyorudi kazini akasema jumanne anasafiri anarudi jumapili , nikasema sawa akaondoka zake usiku nikaingia zangu kulala mwenyewe nikasema kumbe aman hana tatizo 🙄 nikawa nakumbuka vile alivyokuwa ananifanyia😉😘🙈lakini nikikumbuka maumivu nikasema simchokozi tena🙈 akanitumia sms uwe na usiku mwema roommate, usiache kujifunika nakupenda❤🥰 wee ndo kwanza
0 Comments