🚨 HABARI ZA MICHEZO 🚨 Kocha Jose Rebeiro sasa ndiye anayepewa nafasi kubwa ya kuwa kocha mkuu mpya wa Simba SC.

🚨 HABARI ZA MICHEZO 🚨  Kocha Jose Rebeiro sasa ndiye anayepewa nafasi kubwa ya kuwa kocha mkuu mpya wa Simba SC.

Rebeiro ameonyesha uwezo wake akiwa na vilabu vikubwa barani Afrika kama: ⚽ Orlando Pirates πŸ‡ΏπŸ‡¦ ⚽ Al Ahly πŸ‡ͺπŸ‡¬ Sasa macho yote yako kwa Simba SC πŸ‡ΉπŸ‡Ώ, ambapo anatajwa kuwa chaguo namba moja kuchukua mikoba ya benchi la ufundi. πŸ”΄⚪ Mashabiki wa Simba wanasubiri kwa hamu kuthibitishwa kwa dili hili kubwa!

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments