MALIPO YA BUSU BALAA!💋 4

MALIPO YA BUSU BALAA!💋 4

Licha ya suzan kulalamika lakini marafiki zake bado walimpa ushauri wa kukubali na kumuona ana bahati sana. " ujue ni neema hiyo isipige teke bahati. " Sitaki huo ushauri wenu wa kunipotezea kama kuna mtu anatamani huyo nafasi basi nitamuunganisha nae niutue huu mzigo. Siku hiyo Suzan hakuwa na amani hakuwa makini darasani , hakuwa anaelewa alichokuwa anafundishwa . Kuna muda Suzan alitoka na wenzie kwaajili ya kwenda kupata chakula . Walienda kwenye mgahawa mmoja ambao upo karibu na chuo kila mmoja akaagiza chakula wakaanza kula huku wakipiga story lakini suzan alikuwa mbali kimawazo kuna neno alilokuwa ametamka Victor lilikuwa

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments