MR. ARROGANT 💎🔥 9

MR. ARROGANT 💎🔥 9

Sasha alicheka kwa sauti ya kebehi, akaweka karata mezani kwa nguvu. Alimuangalia tena usoni Jasmine na kuangua kicheko kikubwa. " Sasa unacheka nini? “Jasmine, hivi kweli unajua unachokisema? Yule Leon siyo mwanaume wa mchezo. Ukicheza na moyo wake unaweza kuumia vibaya. Jasmine akakunja midomo yake kwa jeuri na kumuangalia rafiki yake. “Sasha, mimi sijawahi kushindwa kwenye mchezo yangu, nakuhakikishia Leon atanibeba kama mtoto mdogo, ni suala la muda tu. “Usijiamini sana, Jasmine. Wanaume kama Leon mara nyingi ni hatari. Ana pesa, ana sura, na ana jeuri ya kutosha. Ukijaribu kumteka, unaweza kujikuta wewe ndiyo unayejikuta mteka. Jasmine akatabasamu huku akiinua

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments