
Ile sauti ya Hemed na vile bado nilikuwa kitandani ukizingatia kimkojo kilikuwa kimenibana lolšhamu tu ndo kitu nilikuwa nakisikiaš Akiongea mwili mzima ulikuwa unasisimka nabaki kugugumia kimya kimya kisauti sasa kama niko natiwa dudušš Yeye mwenyewe alikuwa hoi taabani hahahaaaa nyieee mapenzi hayašyani unaongea na mtu kwenye simu unasikia hisia mpaka unatamani ile kitu.. Hemed aliniomba nijiandae then anakuja kunichukua na aliniomba nivae nguo ya heshimašÆšÆšÆmbona nguo ya heshima au unanipeleka ukweniš Akacheka akaniambia huenda huezi juaššnilimwambia sawa basi nitavaa ya heshima baba.. Baada ya kumaliza kuongea na wa rohoni niliamka na tabasamu murua nikaelekea washing room.. Nilikoga vizuri nikajiweka
0 Comments