
Nilitembea mdogo mdogo mpaka kwenye gari Hemed akashuka akanifungulia mlango nikapandaššakanifungia mkanda lolš Nyiee unaeza ukapagawa nawaambiašš aliniambia umependeza sana mama❤️❤️.. Nikamwambia thank you you look Good tooš„°❤️ akasema thanks, hope you Good nikamwambia yes I'm fine...you??? Akajibu I'm too fine..okay Tuliondoka mpaka chuoni hii ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza kupelekwa chuoni na ndinga tena ndinga ya pesa ndefu nyiee.. Nilitamani nimzuie Hemed asinifikishe chuoni nilihofia watamuibašššnaanzaje kumwambia uuwww si ataniona nimemzimikia kupita kiasi. Tulikwenda mpaka parking akasimamisha gari akashuka akaja kunifungulia mlango uuuwww šš akanishika mkono nikashukaš Wanafunzi walikuwa wanashangaa leo chuoni kaletwa nani jamani walihisi huenda waziri
0 Comments