‎MTEULE WA KUZIMU ‎SEHEMU6-7 ‎

‎MTEULE WA KUZIMU ‎SEHEMU6-7 ‎

‎Sehemu ya 07 ‎Nesi Tina alielekea mochwari kwa haraka sana. Alipofungua mlango, alishtuka kupita kiasi. Hakuamini alichokiona, akapiga kelele: ‎ ‎"Haaaaaa!!!" ‎ ‎Alimuona Daktari Mery akiwa ameshika kipande cha nyama ya maiti na kukitumbukiza mdomoni. Sauti ile ya mshangao ikamfikia Mery, na mara moja akashituka; kisu alichokishika kikaanguka chini. Machoni mwake pakatoa mwanga mkali uliomuelekea moja kwa moja Tina, na kumfanya ahisi kuungua usoni. Akili zikamrudia haraka, akaamua kukimbia kabla hajauawa. ‎ ‎Mbio zake zilimfikisha hadi kwenye kikao alichotumwa kumuita Mery. Alifika pale akiwa anahema kwa kasi, kijasho chembamba kikimtoka. Mganga mkuu akamuuliza: ‎ ‎"Vipi? Tumekutuma kumuita Mery mbona unarudi

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments