📰🎉🔥Mwandishi wa nyimbo maarufu za Bollywood, Sameer Anjaan, amefichua siri ya kuhuzunisha kuhusu jinsi muigizaji Salman Khan alivyokuwa akiguswa na wimbo wa filamu ya Tere Naam (2003) baada ya kuachana na Aishwarya Rai.

📰🎉🔥Mwandishi wa nyimbo maarufu za Bollywood, Sameer Anjaan, amefichua siri ya kuhuzunisha kuhusu jinsi muigizaji Salman Khan alivyokuwa akiguswa na wimbo wa filamu ya Tere Naam (2003) baada ya kuachana na Aishwarya Rai.

Sameer alieleza kwamba kabla ya kurekodi wimbo huo, Salman alikuwa akimpigia simu mtunzi Himesh Reshammiya, akimwomba amwimbie wimbo huo, kisha kusikiliza. Sameer aliongeza kuwa, Salman alitaka wimbo huo — hasa mstari usemao "Kyun kisiko wafa ke badle wafa nahi milti" (Kwanini mtu hapati uaminifu badala ya uaminifu?) — umfikie Aishwarya. Inaonekana wimbo huo ulikuwa njia yake ya kuonyesha maumivu yake kwa Aishwarya Rai. Kama ungekuwepo kipindi hicho ungemshauri nini ?

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments