
*______________________________* π©ππππ ππ πΊπππππππ Kesho yake nikiwa kazini majira ya mchana Patrick alikuja akamkuta mama T walisalimiana hukuakiwa ananiangalia na Mimi nilimtupia jicho huku nikiwa naendelea kumuhudimia mteja Patrick alinikonyeza " Yani huyu kaka anahangaika inamaana hajawahi kuwa na mwanamke au mihemko yake inampeleka vibaya . Walitaniana Tania a na mama T Kisha wakatoka pamoja muda uleule simu yangu iliingiza messeg lakini sokuhangaika nayo kwasababu nilikuwa na mteja . Nilipomaliza kumuhudimia mteja nilichukua simu na kuangalia nilishangaa kuona message ya hela tena laki mbili niliamgalia mara mbili mbili huku nikijiulizs ni nani aloekosea na kunitumia Ile hela " Jamani watu wanajua
0 Comments