NITAWATAJIRISHA KWA MWAKA MMOJA TU NA WATARUDI KWENYE UMASKINI WAO

NITAWATAJIRISHA KWA MWAKA MMOJA TU NA WATARUDI KWENYE UMASKINI WAO

Katika zama za Nabii Musa (a.s.), ambaye ni Kalimullah (Aliyezungumza na Mwenyezi Mungu), iliishi familia maskini yenye mume na mke. Umaskini uliwakumba kwa miaka mingi sana, wakaishi maisha magumu kwa subira. Siku moja walipokuwa wamelala kitandani, mke akamuuliza mume wake: “Mume wangu, je, Musa si Nabii wa Mwenyezi Mungu na ni Kalimullah?” Mume akasema: “Ndiyo.” Mke akamwambia: “Basi kwa nini tusimwendee tumlilie hali yetu ya umasikini? Tumwombe amuombe Mola wake atutajirishe ili angalau tuishi kwa raha katika muda uliobaki wa maisha yetu.” Mume akasema: “Wazo zuri, ewe mke wangu” Asubuhi ilipofika wakaenda kwa Nabii Musa (a.s.), wakamlalamikia hali yao na

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments