
Baada ya kupeana namba za simu waliendelea kuwasiliana mara kwa mara hata kutembeleana. Taratibu walijikuta wanaanzisha uwiano rasmi na kuwa wapenzi . Fariss alishikwa haswa na penzi la Salma baada ya kupandishwa asali alitamani kuchunga mzinga. Mara kwa mara Fariss alikuwa akizunguka mitaa ya mtaa wa saba . Kuna siku alipiga saba simu ya Salma lakini simu ilikuwa haipokelewi. " Kwanini zapikei simu yangu, atakuwa wapi mpaka anashindwa kupokea simu yangu . Fariss alijiuliza maswali kama kwamba ana wivu. Aliendelea kupiga tena na tena lakini haikupokelewa aliamua kufunga safari kuelekea mtaani kwa Salma alijua kivyovyote atajua alipo akifika huko. Alipofika
0 Comments