
Hivi nyie mnawajua hawa wakaka wa magari makubwa hawa madeleva wanaendesha sijui wanayaita malory🤣🤣 hawa wanaenda nje ya nch Nyie hawa wakaka ni malayaaa sijui wababa Ewiiii🙌🙌🙌🙌😅😅😅 hawa ni malaya sijawahi kuona mbwaaa🤣 sasa mie niwapeni mkasa wangu yalio nikuta afu ni kweli kabisaa msije sema nawapanga😅😅😅😅 Mie bwana nilimaza Form four nikazungusha zeroo 😫😫😫yaan nilifeli nikapata sifurii kabisaa 😔 Sasa nikawa mtaani sina cha maan nachofanya nazunguka tuu kama tiara iliyokatika kamba , Nikajiwazia zangu kwanini nisitafute kijikazi changu cha kusukuma siku ziende nikaingia mtaani kutafuta kazi za mama lishe nisiwe mzigo kwa mama Mana hata
0 Comments