Uganda walipata penati kwenye mchezo wao dhidi ya Somalia, ikatokea Allan Okello na Steven Mukwala

Uganda walipata penati kwenye mchezo wao dhidi ya Somalia, ikatokea Allan Okello na Steven Mukwala

wote wakawa wanagombea kupiga hivyo Nahodha wao Khalid Aucho akaingilia akachukua mpira kutoka kwa Mukwala na kumpatia Allan Okello apige penati, Okello amefunga penati hiyo. Mukwala ametolewa dakika ya 69 ya mchezo.

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments