
Pamoja na kwamba Yanga walimtumia “offer letter” kocha huyo na alitakiwa kutua nchini jumamosi ya leo ili kusaini mkataba wa miaka miwili…..Ila baada ya kikao cha juzi kocha huyo ametemwa **baadhi ya viongozi wa Yanga wametilia shaka uwezo wake**
Sasa Yanga wameamua kubaki na Romain Folz,kisha kwenye benchi la ufundi ataongezwa msaidizi mwingine ili kuongeza ujuzi na ufundi.
Note: Yanga wataangalia kwa karibu Performance ya timu kama mambo yatazidi kuwa magumu….Folz atafukuzwa haraka sana.
Soma zaidi
0 Comments