
Baada ya paschal kuondoka pale Hemed alinichekiiii ๐ช๐ช kisha nayeye akaondoka akaniacha pale bila kuniongelesha chochote๐ซฃ au ndo nimeachwa na wote☺️☺️ sa mbona hivi๐๐ aah haya mambo ya kumiliki njemba mbili mbichi mbichi ambazo bado damu zinachemka yatakuja kunitokea puani๐๐ kibaya zaidi wameshajuana natakiwa kufanya maamuzi yupi niwe naye na yupi niachane naye hizi drama zitajasababisha wauane watoto wa watu๐๐..... nilirudi ofisini wachache waliogundua kinachoendelea walibakia kuniangalia hawanimalizi๐คช๐ nilipita zangu kimya kimya hadi ofisini kwangu nilikikuta kile chakula alichokuwa kaniletea hemed kwa ajiri ya lunch.....oh bestie umerudi hope umekutana na boy friend wako hapo nje but surely I don't understand
0 Comments