
Mmmhhh kwa hiyo hemed kumbe ni kamalaya๐ฃ๐ฃ hebu ngoja nimpigie simu nimuulize yuko wapi๐๐ au niende nikamfumanie ili nipate sababu ya kuachana naye kaishaanza kuniudhi et bora niondoke kwake nimuache peke yake๐๐ baby mie nataka kuondoka nirudi nyumbani ๐๐ oh sweery heart lakini ujue kukaa kwako kule nyumbani kwa Hemed kunaniumiza sana mimi yani hata kama haujawa tayari kurudi hapa nyumbani ni bora uniambie mimi nikutafutie sehemu nyingine ukae na watoto kuliko hivyo unavyoendelea kukaa na yule mwanaume unaniumiza et๐คจ๐คจ pole mme wangu basi nitafutie nyumba nyingine ili niondoke pale nyumbani kwa Hemed.....wazo la paschal nililipenda sana la kunipangishia nyumba
0 Comments