
Saa nane usiku ikafika hatimae nikawa nimechoka...nilipotazama pembeni suma na domo zege walikuwa wamelaliana na wanamama walevi kwenye mabenji....sikusita kuwaamsha ..sikutaka wamama wa watu wachafuke kwa mikojo😀. "Oyaa wanaa!!!,wanaaa!!!!acheni basi...embu amkeni haraka...tuondoke...nisije kubakwa hapa na kutolewa rinda ingawa mpo mahala hapa wehu nyie"nilizungumza. Nilipoona hawaamki mahala hapo sikusita kuwamwagia maji ya ukoko ya mama jamali😀...... "Hahahaha"nilijikuta nikiangua kicheko kwa namna suma alikurupuka. "Mvua jamaa mvua nahitaji kukinga maji..kwa uhaba wa maji dar..nitakufa hakika😀"Baada ya kufumbua macho vizuri akajikuta akiangua kicheko kwa mazingira aliyokuwepo. Basi pamoja na wadau wangu tukaongozana hadi nyumbani kwangu.....waliponifikisha wakageuza makwao.... "Mfyuuuuu!!"sonyo la mama mwenye nyunb ahalikuacha
0 Comments