
PENZI LA SINGLE MAMA SEHEMU YA TATU TULIPOISHIA... "Ulisemaje?" aliuliza mama yake kisha akatoka nje. HUWEZI AMINI, MWANAMKE YULE NI MARIA NA NDO MAMA WA YULE MTOTO. ************" ENDELEA SASA.... " mama nilisema viberiti robo na unga viwili" Maria alicheka sana na kusema " ama kweli mwanangu we bado ni mdogo" Kakanuna" mama mi mbona mkubwa " " haya sawa mwanangu wewe ni mkubwa haya sogea unawe uso ( mama akamuosha mwanae uso kisha akaingia ndani na kuchukua taulo. Kisha akamfuta ) " mwanangu sasa umependeza ". Mara ghafla tumbo likaunguruma wote wakacheka .... Maria alipomtazama mwanaye, alitabasamu kwa
0 Comments