FATE TO LOVE YOU 💓 13 MTUNZI UHURU MEDIA Ule usiku Jerry aliamua kutoka nyumbani kwake na kwenda kuonana na rafiki yake kipenzi Nabir. Walikaa na kuanza

FATE TO LOVE YOU 💓 13  MTUNZI UHURU MEDIA   Ule usiku Jerry aliamua kutoka nyumbani kwake na kwenda kuonana na rafiki yake kipenzi  Nabir. Walikaa na kuanza

kuongea maswala yao ya kibiashara lakini akili ya Jerry haikuwa pale alikuwa akimkumbuka jinsi walivyovamiwa na Stephen . " Hivi leo upo sawa kweli? Nabir alimuuliza. " Kwakweli simba dume nimeshikika, sina ujanja . " Unamaana gani kusema hivyo? " Nabir ninezama penzi ni lakini sijui najiweka vipi kwenye hili penzi na mbaya zaidi kuna kitoto kimoja naona kinaniingilia . Nabir Kumuangalia Jerry huku akicheka sana. " pole sana rafiki yangu , udhaifu wako naujua huwezi kubembeleza wala kutongoza, sijui huyo msichana utaanzia wapi kumvuta kwako. " Tayari yupo karibu na mimi ila kumueleza hisia zangu ndio bado. " Ni

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments