
Gilbert alishtuka kidogo kwa ukali wa maneno ya Leon. " Mbona umekuwa mkali kiasi hicho Leon ilikuwa ni kwaajili ya chakula tu. " Ndio Leon mpe nafasi secretary wako akutane na watu wengine ili kubadilisha mawazo. Leyna aliongea . " Kwani kuja ajenda gani inayoendelea hapa? Nimesema hapana hapana , hatukuja hapa kubadilishana mawazo bali ni kwenye mkutano wa kibiashara kama mkutano umeisha sioni haja ya mambo mengine. " Sawa leon nimekuelewa. Jasmine nitakutana na wewe kwa wakati mwingine ukiwa nje ya kazi. Pia karibu sana kwenye kampuni yangu ya G&G .... Kabla hajamaliza kuongea Jasmine alisema " Sawa, sawa
0 Comments