NAISHIWA PAWA💗 SEHEMU YA "1"💞 Ni majira ya jioni mida ambayo nilikuwa nimetoka kazini naelekea nyumbani

NAISHIWA PAWA💗  SEHEMU YA "1"💞  Ni majira ya jioni  mida ambayo nilikuwa nimetoka kazini naelekea nyumbani

kwangu......siku hiyo bwana kulikuwepo na wingu jeusi lilioashilia kunyesha kwa mvua...... upepo mkali sana ulikuwa ukivuma kutokea kasikazini, magharibi hadi mashariki pia....... baridi ilikuwa ni kali sana😌😌 nilikuwa ndani ya gari langu naendesha mdogo mdogo huku nikiwa nayaangaza macho yangu kwa umakini zaidi barabarani ili nisije kusababisha ajali......kabla hata sijakaribia mtaa ninaoishi Lilianza kunyesha bonge la mvua😫😫ni mvua iliyokuwa imeambatana na upepo mkali sana niliongeza mwendo kidogo wa gari.....nilipofika pembezoni mwa njia panda ya kuingilia nyumbani kwangu nilipunguza mwendo ili niweze kukata kona.. Wakati nakata kona mmhhh🤔🤔nikamuona mtu anahangaika katika baiskeli haikuwa baiskeli ya kawaida ni zile za walemavu🥹🥹 Mtu

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments