
Kusikia vile aibu jamani aibu mkojo ukanibana .....hahahaaha...kaka Robby nataka niende chooni..... kufanya nini.... ..aliniuliza ...kheπ€― huyu mbuzi nini kwani chooni wanaendaga kupika sambusa au π§...niliwaza .....eeh wamama mlijua nmemwambia subutuuuuu.... weeee nimwambie nije nifukuzwe kazi tamuonea wapi Robby mie hahahah,ππ........naenda kujisaidia kaka....nilimwambia ohooo sawa. Nenda.....niliinuka kuufata mlango wa kuelekea nje .....wewe sikitu choo kile pale .....π³ Mamamamamamamama ....hapa sina ujanja kumbe pana choo hapahapa ndani ........kaka cha nje ndo nimezoea ....... nilimwambia.... kumbuka tumekubaliana usiondoke bila ya ruhusa yangu.......hapohapo nikanywea .....nikarudisha vigimbi vyangu ndaniπΆ......aibu kama kobe...... huyu sasa anataka kunizoea mbona ana amri hivi kwani mi mkewake .......niliwaza. ....kwanza
0 Comments