
""Nini hii๐คจ๐คจ?"" ""Aliniuliza paschal baada ya kumpatia zile barua"" ""Fungua usome๐๐"" ""Nilimjibu kwa kumnyali"" ""Pendo umewaza nini hadi kwenda kufungua madai ya talaka mahakamani๐คจ๐คจ"" ""Ulitaka niwaze nini Mr paschal ๐๐"" ""Kwa hiyo huyu mshenzi ndo ambaye amekushawishi kufanya hivyo?.... aliuliza paschal kwa hasira huku akiwa anamnyooshea hemed kidole๐ ๐ ...... kanishawishi juu ya nini?! Uliyenishawishi ni wewe hapo na lia wako we si ulifikiri mimi siwezi kukuacha wewe natamani unionyeshe kiburi chako cha jana ๐๐ huyo mwanaume unayemuona hapo anaitwa hemed ni mme wangu mtarajiwa pia ni baba wa watoto wangu nice na shazil๐คช๐คช unaongea juu ya nini pendo kwa hiyo unamaanisha
0 Comments