
baada ya kupata sare dhidi ya Hispania. Vozinha amekuwa sehemu ya timu ya taifa ya Cape Verde 🇨🇻 kwa takribani miaka 15 sasa. Ameshuhudia kila kitu katika safari yake na timu hiyo; kuanzia vipindi vya kushindwa, vipigo vizito, hadi kufuzu mara kadhaa kwenye Kombe la Mataifa ya Afrika AFCON/CAN. Na sasa amefika kwenye hatua ya kihistoria ya kucheza mchezo wa kwanza kabisa wa Kombe la Dunia kwa Cape Verde. Katika mechi hiyo ya kihistoria, alifanikiwa kupata clean sheets, alifanya saves 7 na kuibuka Man Of The Match. Baada ya mchezo kumalizika Vozinha alishindwa kujizuia na alitoa machozi yake hadharani. Huu
0 Comments