๐Ÿšจ PIRLO HATAKUWA KOCHA WA ITALIA! ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น❌

๐Ÿšจ PIRLO HATAKUWA KOCHA WA ITALIA! ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น❌

๐Ÿšซ Andrea Pirlo hatakuwa kocha mkuu mpya wa Timu ya Taifa ya Italia baada ya Shirikisho la Soka la Italia kusitisha makubaliano yaliyokuwa yakitarajiwa kukamilika leo. ⚠️ Rais wa Shirikisho, Giovanni Malagรณ, ameripotiwa kupinga uteuzi huo kutokana na ushirikiano wa Pirlo na kampuni ya kamari kutoka Urusi.

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments