πŸ’•πŸ˜πŸ’–DRAMA OF LOVEπŸ’–πŸ˜. part 14

πŸ’•πŸ˜πŸ’–DRAMA OF LOVEπŸ’–πŸ˜. part 14

πŸ’•πŸ˜πŸ’–DRAMA OF LOVEπŸ’–πŸ˜. part 14 Her: Beb alikuja ama hapana?? Me: whaaat why? when? Who?? NJERI: Sky usinipandishe hasira please, nauliza Brianna alikuja ama hapana?? YES or NO. ME: no hakukuja😭😭😭. NJERI: Sasa anakuja aje na ni mm ndo niliandika hiyo letter 😲😲. I almost fainted πŸ˜‚, yan nmekuwa nikimficha mwenye letter?? This must be a joke😭, Njeri alianza kunirushia maswali mazito mazito hadi nikashindwa kujitetea😭. Ilibidi nmehang up simuπŸ˜ͺ. Mara that nikamkol Brianna nione kama kweli siye aloandika ile barua ya kunitembelea😱. Hakushika calls zangu, I wanted to call even more than million times but Njeri hakunipa time, alikuwa

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments