
Mwandishi:lissa mwalla Nilichapwa kama mtoto mdogo jmn, nikilia kwa nguvu ndio anazidisha, wee liwalo na liwe nilipaza sauti lkn naona sipati msaada, nililia sana in a mana mama jemima haniskii? Kichapo kilikolea ananitandika matakon mapajani miguuni huku haongei mm nahisi kufa nikaanza kusema nisamehe nimekosa sitorudia ,akasema ww si uliamua kuondoka na mwanaume wako? Uliona mm nimesema kitu? Nikasema hapana, p nisamehe, akasema sasa kwa nn uje ufanye fujo hapa? Hujui ni kama watu? Hujafunzwa kwenu ww si ndio? Alinipigaa mno mara nikaskia mlango unagongwa saut ikaskika wee p, p fungua mlango p, alikua ni ticha anaita, p hakujali, aliendelea
0 Comments