MOYO UKIPENDA 14

MOYO UKIPENDA 14

Basi silavina akaondoka zake na kwenda nyumba kwake ila huku nyuma iyan wakati wote alikuwa anataja jina lake, kila wakati alikuwa anasema kuwa anampenda sana , Yule mwanamke wake akawa anashikwa na hasira sana, mwisho akaona isiwe shida akaona ampigie mama yake simu kisha akasema baada ya simu kupokelewa “ samahan mama kwa kukusumbua, hivi hatuwez kumteketeza huyu mwanamke, maana ni kama kijana wako hataki na hawez kumuacha, akasema Yule mwanamke…. “ siwez kuruhusu damu ya kimaskin kuingia kwneye nyumba yangu, siwez kuruhusu huyo bint kuwa mkamwana wangu, kesho uje nyumban kwangu tuzungumze jambo, akasema mama yake na iyan kitu

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments