
Nikasema JUSTIN KURWA ndo nani, na kama baba ndo kamdhulumu uo mzigo wake ,asa mm nahusikaje mbona mnanionea, uyu kka akacheka kisha akasema ,baba yako ana ulinzi mkubwa sana , ingekuwa ngumu sana kumsogelea ,but kwa justin sio issue, ila ametaka tukuchukue ww, unajua kwa nn, apo nikabaki kimya, uyu kaka akasema ni kwa sababu ww ni mtoto wake wa pekee, na anakupenda sanaa, so vinavvyotuumiza ndo huwa tunavyovipenda, so baba yako ni lazima atarudisha mzigo wa watu tu, kwa kutaka kukuokoa ww, okey ngoja nikuache, but ningekusihi ule ,kabla ya kifo chake mrembo , kisha yule kaka akanyanyuka na
0 Comments