MREMBO KIPOFU 06

MREMBO KIPOFU 06

Mama akasema: "Eti Bianca nani aanze kuongea??" Mimi nikacheka nikasema, "Hapo aongee baba maana mama anaongea kila siku." "Aaah Bianca jamani," mama alilalamika. "Basi ongeeni nusu nusu," nilisema hivyo ili kuepusha lawama, baba akasema sawa tutaongea nusu nusu. "Bianca binti yetu kwanza tunashukuru kwa kuwa nasi hapa, tunakupenda sana sana yaani sisi tunakupenda," baba alinambia huku anaishika mikono yangu. "Nashukuru sana baba na mama, mimi pia nawapenda, asanteni kwa nafasi hii." "Sasa jambo tuliloleta hapa na mama yako ni kuwa tumejadiri sana, tumeona bora uende shule kwakuwa umesoma hapa na umejua mengi unaweza kuanza shule, haina shida." Mmh kidogo niliguna,

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments