
TULIPOISHIA Baada ya kuwaza sana Alichukua sm nyingine ambayo Chris hakuwa na namba yake akahamisha picha ambazo Nanah alimtumia wakiwa na Ray tena picha zingine zilikuwa kimahaba Zaid , baada ya kuhamisha alizituma kwa Chris alipoona zimefika alitoa ile line na kuweka ile sm kwenye droo Kisha akalala huku akiwa na mawazo y kwenda ofisini kwa Chris kesho yake TUENDELEE Asubuhi na mapema Doris aliamka akafanya usafi na kuandaa chai mezani Kisha akaenda kumaumsha baby wake ,akamuanda kwenda kazin Baada y kumaliza kumuandaa na kupata chai Chris alienda kzn akimuacha Doris nyumbani Mid ya saa nne Doris akiwa anajiandaa kutoka
0 Comments