
Baada ya miezi kusogea wazazi wa Chriss walienda Tanzani kushuhudia ndoa ya Viana na Chriss. Ilikuwa ni harusi na sherehe kubwa sana habari zilisambaa kila kona ya dunia . Baada ya sherehe kuisha Viana na Chriss walienda kulala hotelini na ndio ilikuwa siku ya kwanza kwa Viana kukutana na mwanaume . Chriss aliposhuhudia zone la damu kwenye shuka nyeupe ndipo aliamini kile alichokiongea Viana kipindi cha nyuma. Chriss alimuangalia Viana kisha akamkumbatia kwa upendo mkubwa sana. " Hongera sana mpenzi nazidi kuamini kuwa nimepata mama bora wa familia yangu. Kama mke basi nimepata mke bora ambae atakuwa kiongozi bora wa
0 Comments