
Derick ananifwata adi niliko akanikuta nimesimama nijiani. Akasimamisha gari pembeni yangu. Na mimi nikamfwata kisha nikaingia ndani ya gari . Derick akasema mama kwani bado umeninunia . Nikasema hamna nambie mimi nipo kawaida tu . Derick akasema nisamehe mama angu ni vile tu sikutaka tuwe na haraka unajua bado hatujajuana . Nikasema sasa derick si ungenielekeza vizuri tu kwa amani kuliko kunitukana mara mimi maraya na kwenye gari lako ukanifukuza kweli . Derick akasema samahani mama la mama nilighafirika tu wala sio kwamba nilimaanisha ni hasira na ile siku kuna vitu vilikuwa vinanisumbua ndio naomba nisamehe tu naima. Nikasma mmmh
0 Comments